Social Icons

Monday 25 January 2016

PICHA: MATUKIO MBALIMBALI BUNGENI MJINI DODOMA.

Ikiwa unataka tengenezewa Blog, Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo auHabari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com. Follow me instagram @officialfredynjejeblog Twitter @Fredynjeje

     Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora , Angela Kairuki akiteta na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Ashatu Kijaji bungeni mjini Dodoma Januari 25, 2016.
 Waziri Mkuu, Kassim Majalaliwa akisalimiana na Mbunge wa Nkansi Ally Kessy kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma Januari 25, 2016.

 Waziri Mkuu, Kassim Majalaliwa akisalimiana na Mbunge wa Mbozi Magharibi, David Silinde kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma Januari 25, 2016. Katikati ni Mbunge wa Nkansi, Ally Kessy.

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Songwe, Philip Mulugo kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Januari 25, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wazee kutoka jimbo la Chemba Ofisini kwake bungeni mjini Dodoma Januari 25,2016. Kushoto kwake ni Mbunge wa Chemba Juma Nkamia. 

 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: