Ikiwa unataka tengenezewa Blog,
Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo auHabari
yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe
fredynjeje@live.com. Follow me instagram @fredynjejeblog Twitter
@Fredynjeje
Watu sita wanauguza
majeraha baada kushambuliwa wakijaribu kumdhibiti chui aliyekuwa
ameingia kwenye shule ya Vibgyor nchini India
Watu hao walikubwa na
maswaibu hayo baada ya kujaribu kumzuia chui huyo ndipo alipoanza
kuwarukia na kuwauma huku watu wengi wakikimbia kuepuka kadhia hiyo.
Chui huyo mwenye umri
wa miaka nane baada ya kukamatwa alichomwa sindano na kumfanya atulie na
baadae aliachiwa na kurejea porini.
Kwa mujibu wa sensa ya wanyama mwitu iliyofanywa majuzi nchini India inakadiria idadi ya chuo kuwa kati ya 12,000 na 14,000.
No comments:
Post a Comment