Ikiwa unataka tengenezewa Blog, Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo auHabari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com. Follow me instagram @fredynjejeblog Twitter @Fredynjeje
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli leo
aweka jiwe la msingi la Ujenzi wa barabara ya Arusha- Holili/Taveta-voi
(km 234.3) kwa upande wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa
Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta katika eneo la Tengeru jijini Arusha.
Muonekano
wa Barabara ambayo jiwe la msingi linawekwa na Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli pamoja na Rais wa
Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta.
No comments:
Post a Comment