Social Icons

Thursday 3 March 2016

RAIS DKT.MAGUFULI NA RAIS UHURU KENYATTA WAWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA BARABARA YA ARUSHA-HOLILI/TAVETA-VOI YA KM 234.3

Ikiwa unataka tengenezewa Blog, Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo auHabari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com. Follow me instagram @fredynjejeblog Twitter @Fredynjeje
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli leo aweka jiwe la msingi la Ujenzi wa barabara ya Arusha- Holili/Taveta-voi (km 234.3) kwa upande wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta katika eneo la Tengeru jijini Arusha. 
Muonekano wa Barabara ambayo jiwe la msingi linawekwa na  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli pamoja na Rais wa Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta.


No comments: