PIX 2 (4)Mkurugenzi Maendeleo ya Vijana Taifa Ofisi ya Waziri Mkuu; Sera,Uratibu,Bunge,kazi,Ajira,Vijana na watu wenye Ulemavu, James Kajugusi (katikati) akipata ufafanuzi juu ya matumizi ya jiko linalotumia nishati ya jua toka kwa Meneja wa Tanzania Agriculture Productivity Programme Praygod Mushi (Kulia) katika ufunguzi mafunzo ya kilimo cha kisasa kwa vijana kushoto ni Mkurugenzi Uhamasishaji Idara ya Vijana Esther Riwa.

PIX 1 (4)Mkurugenzi Maendeleo ya Vijana Taifa Ofisi ya Waziri Mkuu; Sera,Uratibu,Bunge,kazi,Ajira,Vijana na watu wenye Ulemavu, James Kajugusi (katikati) akipata ufafanuzi juu ya kilimo cha mbogamboga toka kwa Mwenyekiti Kinondoni Saccoss Neema Urio (Kulia) katika ufunguzi mafunzo ya kilimo cha kisasa kwa vijana kulia mwa Mkurugenzi Maendeleo ya Vijana ni Mkurugenzi Msaidizi Mafunzo Idara ya Vijana Venerose Mtenga na kushoto ni Mkurugenzi Uhamasishaji Idara ya Vijana Esther Riwa.
PIX 3 (4)Mkurugenzi Maendeleo ya Vijana Taifa Ofisi ya Waziri Mkuu; Sera, Uratibu, Bunge, kazi, Ajira,Vijana na watu wenye Ulemavu, James Kajugusi (mwenye koti la Draft) akitoa ushauri kwa wajasiriamali toka Pop Up the Best Tailoring wa Sinza Dar es Salaam walioshiriki mafunzo ya usajasiriamali yaliyofanyika Jijini Dar es salaam, kushoto ni Mkurugenzi Uhamasishaji Idara ya Vijana Esther Riwa.
PIX 4 (2)Mkurugenzi Uhamasishaji, Idara ya Vijana Esther Riwa akizungumza na washiriki (hawapo pichani) wa mafunzo ya ya kilimo cha kisasa kwa vijana yaliyofanyika Jijini Dar es salaam.
PIX 5 (3)Mkurugenzi Msaidizi Mafunzo Idara ya Vijana Venerose Mtenga akiongea na washiriki wa mafunzo ya kilimo cha kisasa kwa vijana kushoto ni Mkurugenzi Maendeleo ya Vijana taifa James Kajugusi.
PIX 6 (4)Mkurugenzi Maendeleo ya Vijana Taifa Ofisi ya Waziri Mkuu;Sera,Uratibu,Bunge,kazi,Ajira,Vijana na watu wenye Ulemavu James Kajugusi akizungumza na washiriki (hawapo pichani) wa mafunzo ya kilimo cha kisasa kwa vijana yaliyofanyika Jijini Dar es salaam.
PIX 7 BBaadhi ya vijana wakimsikiliza mtoa mada(Hayupo pichani) juu ya juu ya kilimo cha kisasa kwa vijana katika mafunzo yaliyofanyika Jiji Dar es salaam na kushirikisha vijana toka Dar es salaam na Pwani.
PIX 7APIX 8 (2)
Mmoja wa washiriki wa mafunzo ya kilimo cha kisasa kwa vijana Bi. Jasmin John akitoa neno la shukrani kwa mgeni rasmi mara baada ya kufungua mafunzo hayo yanayofanyika kwa siku tatu Jijini Dar es Salaam.
PIX 9 (2)Mkurugenzi Maendeleo ya Vijana Taifa Ofisi ya Waziri Mkuu;Sera,Uratibu,Bunge,kazi,Ajira,Vijjana na watu wenye Ulemavu James Kajugusi akipongezana na Mkurugenzi Msaidizi Mafunzo Idara ya Vijana Venerose Mtenga mara baada ya kufunguliwa kwa mafunzo ya kilimo cha kisasa kwa vijina yanayofanyika jijini Dar es Salaam.
PIX 10 (1)Mkurugenzi Maendeleo ya Vijana Taifa Ofisi ya Waziri Mkuu;Sera,Uratibu,Bunge,kazi,Ajira,Vijjana na watu wenye Ulemavu James Kajugusi akisalimiana na Mwenyekiti wa mafunzo ya kilimo cha kisasa kwa vijana Bi Mary Lucian Mdendemi mara baada ya kufunguliwa kwa mafunzo ya kilimo cha kisasa kwa vijina yanayofanyika jijini Dar es Salaam, katikati ni Mkurugenzi Uhamasishaji, Idara ya Vijana Esther Riwa. (Picha zote na Raymond Mushumbusi – Wizara ya Habari).