Ikiwa unataka tengenezewa Blog, Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo auHabari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com. Follow me instagram @fredynjejeblog Twitter @Fredynjeje
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa,akiweka saini katika kitabu
cha maombolezo ya msiba wa mama wa Mbunge wa Muleba Kusini,Profesa Anna
Tibaijuka, alipofika kutoa pole kwa wafiwa.Katikati ni Naibu Waziri wa Nishati
na Madini,Dk. Medard Kalemani na anayefuatia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo
ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni ,ambao waliongozana na Waziri Mkuu
kwenda kutoa pole kwa wafiwa.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania,Kassim Majaliwa(kulia),akimpa pole Mbunge wa Muleba Kusini,Profesa
Anna Tibaijuka,ambaye amefiwa na mama yake.Waziri Mkuu yuko mkoani Kagera kwa
ziara ya kikazi.
Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya
Nchi,Mhandisi Hamad Masauni(kulia),akimpa pole Mbunge wa Muleba Kusini,Profesa
Anna Tibaijuka, aliyefiwa na mama yake,marehemu Aurelia Kajumulo.(Picha
zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi)
No comments:
Post a Comment