Social Icons

Wednesday 6 April 2016

WAZIRI UMMY MWALIMU KUZINDUA KAMPENI YA WAZEE KWANZA

Ikiwa unataka tengenezewa Blog, Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo auHabari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com. Follow me instagram @fredynjejeblog Twitter @Fredynjeje

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akizungumza na wandishi wa habari juu ya uzinduzi wa kampeni ya Wazee kwanza toa kipaumbele apate huduma, leo Mkoani Morogoro kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Kibwe Stephen.
Kaimu Mkurugenzi mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima y Afya (NHIF) Michael Mhando Akizungumaza na wazee wa Mkoa wa Morogoro leo`
Wazee wakimsikiliza Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu .(Picha na Emmanuel Massaka wa Globu ya jamii-Morogoro ).
 
Kwa Hisani ya Michuzi Media

No comments: