Social Icons

Wednesday 11 May 2016

HADITHI MPYA: KIUMBE WA USIKU SEHEMU YA KWANZA

Ikiwa unataka tengenezewa Blog, Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo auHabari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com. Follow me instagram @fredynjejeblog Twitter @Fredynjeje


“Naitwa Joy.. naishi Tandale. Abeeeh! Nina miaka 18,” hiyo ilikuwa ni sauti ya Joy akijibu maswali aliyoulizwa; akiwa katika moja ya vyumba vya gesti maarufu kwa jina la Kuyangatana Guest House na mzee mmoja wa makamo aliyeonekana kuvutiwa na maongezi kwanza kabla ya kufanya ngono.


Joy aliyeonekana hana muda wa kupoteza alianza kumvua nguo yule mzee, alitaka kumalizana na mteja huyo haraka na kurudi tena uchochoroni ambapo wenzake walikuwa wamejipanga kusubiri wateja wengine wa kiume wenye hamu ya kufanya nao mapenzi.

“Kwa nini unafanya biashara hii wakati wewe ni msichana mzuri ambaye hata naweza kukuoa kabisa,” aliuliza yule mzee huku akijitahidi kuhakikisha ile tomasatomasa ya Joy inatoa majibu sahihi ya kusimamisha mlingoti wake ili uvalishwe kinga na kuanza kuchapa kazi.

“Babu mimi sina cha kukujibu, naomba tufanye tulichokijia!” alijibu Joy kwa ukali na kuendelea kuutomasatomasa mlingoti wa babu hadi ulipoitika.

Akahakikisha anauvalisha mpira na kuuingiza korokoroni. hakuwa na haja ya kuzungusha kiuno wala kuvua nguo zake zaidi ya kupandisha kimini chake hadi juu na kumuachia babu wa watu kiwiliwili kiasi cha kumuacha akihema hovyo juu ya kifua chake kibichi.

“Nikubalie nikuoe wewe mtoto mtamu kweli, aaashhhh mmmmhh! ” yalikuwa ni makelele ya mzee wa watu lakini kutokana na uzoefu wa kazi yake wala Joy hakuhangaika kumjibu lolote yule mzee zaidi ya kuhesabu dakika kimoyomoyo akikadiria mzee huyo atadondokea dakika ya ngapi.

Lakini tofauti na wazee wengine na vijana wengi wa siku hizi, wanaomaliza haja zao ndani ya dakika moja tu, mzee huyo alihimili mikiki, hakutegemea kama mzee huyo angedumu dakika tano.

Maskini Joy akaanza kuhisi kufikishwa kileleni na babu, jambo ambalo hakutaka litokee kwa sababu kama angefika, angeshindwa kuendelea na kazi yake vizuri usiku huo na kushindwa kujiingizia kipato, kutokana na uchovu utakaomkuta.

Akakumbuka kuwa wazee kama hao wengi wao hutumia dawa kuwakomesha machangudoa, “Kama kweli ameninywea ‘mngulyati’!” akajiapiza kimyakimya kuwa atasimama na kumdai mzee huyo amlipe hela yake kwa kuwa amemdanganya.

Kadri muda ulivyozidi kwenda ndiyo yule mzee alivyozidi kumkuna Joy. Mara kadhaa akalazimika kuwaza mambo mengi ili mradi hisia zake zisikubaliane na mawazo yake, kidogo akafanikiwa.

Sasa ilikuwa imefika dakika 9 na mzee wa watu alionekana hana dalili yoyote ya kufikia kileleni zaidi ya kelele zake na miguno ambayo Joy alianza kuhisi ni za uwongo.

“Lazima nimfanyie kitu huyu mzee hanijui,” aliwaza Joy lakini kabla ya kufanya hivyo, akawaza jambo la ujanja. Akajifanya naye amepandisha mzuka ile mbaya, akaanza kuimkatikia mzee na kujifanya analalamika balaa. 

Mbinu hiyo ikaonekana kufanya kazi, mzee wa watu akaanza kujikunja akatoa macho kama chura ameona kumbikumbi, akapiga kelele huku amemshikilia kiuno Joy na mara akaanguka kama mzigo juu ya kifua cha Joy.

“Mzee amka unipe hela yangu,” mzee wa watu alionekana amelala kama vile anakata roho, wasiwasi ukaanza kumuingia Joy akatoka nje haraka kuwaita walinzi wa gesti ile ambao ni wamasai ili waone yaliyomtokea chumbani kwake.

“kwani ulifanya nini huyu musee,” aliuliza mmasai mmoja akionekana kuogopa zaidi.

Mzee wa watu alionekana hana kauli huku mkia wake ulioganda na mpira uliojaa gundi, ukiwa bado unaning’inia katikati ya miguu yake.

“Wasee wengine wanapresha halafu wanataka utamu ona sasa. Akitufia tumekwisha” alisema mlinzi mwingine. 

Itaendelea .......

USIKOSE KUSOMA HADITHI HII NZURI YA KUSISIMUA, INAYORUSHWA KUPITIA WHATSAPP NO 0653146563 KWA KULIPIA; 

HADITHI YA MAANDISHI tSH 100/= NA YA SAUTI NI TSH 250/= KUPITIA NAMBA: TIGOPESA 0653146563,AIRTEL MONEY 0788462368 M- PESA 0765056399


No comments: