Ikiwa unataka tengenezewa Blog, Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo auHabari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com. Follow me instagram @fredynjejeblog Twitter @Fredynjeje
Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoo, Mhe. Ummy Mwalimu
(IMb) akisoma taarifa ya Bajeti ya Wizara yake Bungeni mjini Dodoma, 11
Mei, 2016.
Waziri wa
Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,
Mhe. Angellah Kairuki (kushoto) akiteta jambo na Waziri wa Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo Bungeni mjini Dodoma.
Waziri wa
Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,
Mhe. Angellah Kairuki (kushoto) akifurahi na Wabunge wenzie nje ya Bunge
mjini Dodoma.
PICHA ZOTE NA BENEDICT LIWENGA-MAELEZO, DODOMA.
No comments:
Post a Comment