Ikiwa unataka tengenezewa Blog, Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo auHabari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com. Follow me instagram @fredynjejeblog Twitter @Fredynjeje
Jamaa akaamua kujiselfisha na Marehemu je wewe unaweza hii na kwa nn?
Nae huyu sijui kimepata nn akaamua kujiselfisha ......
Sasa haya mambo ni Too much hii picha sijui alikua na lengo la kuipeleka wapi
Mshikaji hapa nae anaacha mambo yake anakuja jiselfishaa
Hizi sasa sijui ni Bangee ama nini wewe utapata jibu lakini ndio mambo ya kuselfikaaa
HAhahaaaaa.... Polisi kabaki tuuu anashangaa daaaah selfikaz
Mama baada ya kuendelea kupika sasa yeye anaselfika
Sijui kama lilikuwa jambo zuri hapa lakini jamaa anafurahia kweli
Kwa hakika Selfika selfika lakini jiulize kwa nn unaselfikapo??
No comments:
Post a Comment