Mara zote ukitaka upate mafanikio fanya yale mambo ambayo unaona wewe unayaweza kwa undani.
Usifanye jambo kwa kulazimishwa ni hatari sana
Unatakiwa fanya kile moyo wako unataka.
Pia usisahau kuwa sio kila mtu anapenda ufike pale unapopataka
Na si wote wanaopenda kuona unashindwa wataendelea kukupa moyo zaidi na zaidi ndio maisha...
Songa mbele Muombe Mungu utafika
No comments:
Post a Comment