Social Icons

Tuesday 4 July 2017

RAIS MAGUFULI AVAMIA UWANJA WA NYAMAGANA KUANGALIA MPIRA

Rais akiingia Uwanja wa Mpira wa Nyamagana jijini Mwanza kushuhudia mechi ya mpira Kati ya Timu yaBuhongwa na Nyamagwa FC
Rais Magufuli akisalimiana na wachezaji wa mpira alipowasili katika Uwanja wa Nyamagana
Rais Magufuli akisalimiana na wachezaji wa mpira wa miguu katika Uwanja wa Nyamagana Mwanza.
Rais John Magufuli akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongela (kulia) wakifuatilia mchezo wa mpira wa miguu kati ya timu ya Buhongwa na Nyamagwa FC katika Uwanja wa Nyamagana, Mwanza.

PICHA NA IKULU

No comments: