Banda
la Benki ya NMB likiwa katika eneo lilipo soko la Mitumba la Kiboriloni
kwa ajili ya kutoa huduma kwa wateja wa benki hiyo.
Baadhi ya wananchi wakiwa katika eneo la soko la Mitumba la Kiboriloni kwa ajili ya kujipatia huduma.
Afisa
Masoko wa Benki ya NMB,tawi la Nelson Mandela,Theodosia Manyama
akimsikiliza mteja wakati akiandika maelezo wakati wa ufunguaji wa
akaunti .
Afisa
Masoko wa Benki ya NMB,tawi la Nelson Mandela,Theodosia Manyama
akichukua taswira ya mteja wa Benki hiyo alipofika kwa ajili ya kufungua
Akaunti.
Afisa
Masoko wa Benki ya NMB tawi la Nelson Mandela ,Theodisia Manyama
akichukua alama ya kidole mmoja wa wateja waliofika katika banda hilo
kwa ajili ya kufungua Akaunti.
Meneja
wa Benki ya NMB ,tawi la Nelson Mandela mjini Moshi ,akijaribu kutoa
ushawishi kwa dereva wa bodaboda kufungua akaunti ya Chap chap ikiwa ni
moja ya huduma inayotolewa na Benki hiyo.
Afisa
Masoko wa Benki ya NMB,tawi la Nelson Mandela ,Martha Malisa
akimuelekeza jambo dereva Bodaboda wakati akifungua akaunti ya Cha chap.
No comments:
Post a Comment