Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akisalimiana na Mwakilishi Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Tanzania
Ndugu Alvaro Rodriguez mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya
Karimjee kwenye sherehe za kutimiza miaka 72 ya Umoja wa Mataifa. (Picha
na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akikagua gwaride maalum katika sherehe ya Siku ya Umoja wa Mataifa
ambapo Umoja huo umetimiza miaka 72 tangu kuanzishwa kwake na sherehe
hizo zilifanyika kwenye viwanja vya Karimjee kwenye sherehe za kutimiza
miaka 72 ya Umoja wa Mataifa. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akihutubia kwenye sherehe ya siku ya Umoja wa Mataifa iliyofanyika
kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam
No comments:
Post a Comment