Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira, Vijana
na Wenye Ulemavu Erick Shitindi akizungumza na baadhi ya vijana watakaoshiriki
tamasha la 19 la Dunia la Vijana na Wanafunzi jijini Sochi nchini Urusi kabla
ya kuwakabidhi bendera mapema hii leo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana Bi. Venerose Mtenga toka Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu akitoa taarifa kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu Bw. Erick Shitindi juu ya vijana watakaoshiriki tamasha la 19 la Dunia la Vijana na Wanafunzi jijini Sochi nchini Urusi.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Erick Shitindi (aliyevaa tai) akiwa katika picha ya pamoja na vijana watakaoshiriki tamasha la 19 la Dunia la vijana na wanafunzi jijini Sochi nchini Urusi mapema hii leo jijini Dar es Salaam.
Picha na Eliphace Marwa – Maelezo
No comments:
Post a Comment