Akizungumza na teentz.com, mapema leo Bob Junior amesema licha ya kuwa aliwasiri jana jioni kutoka Oman alikokuwa kwa mapumziko na amepata bahati ya kuisikiliza ngoma mpya ya Diamond na kuona kuwa ni kawaida kwani haina kitu kipya ilichofanyiwa
Vijimambo Blog
Vijimambo Blog
No comments:
Post a Comment