Ikiwa una Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo au Habari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com.
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Kahama mjini kabla ya kutimkia CHADEMA James Lembeli na hapa alibebwa na wafuasi wa chama hicho mara baada ya kujitoa CCM. |
Octoba 26,2015
KAHAMA
Mgombea ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM katika jimbo la Kahama Mjini Jumanne Kishimba ametangazwa kushinda kiti hicho na kuwashinda wapinzani wake James Lembeli kutoka chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na Bobson Wambura wa chama cha ACT wazalendo.
ZAIDI BOFYA PLAY KUSIKILIZA TAARIFA YA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI.
GSENGO
No comments:
Post a Comment