Social Icons

Thursday, 14 January 2016

KESI YA PINGAMIZI DHIDI YA BOMOABOMOA KUSOMWA TENA JANUARI 25 MWAKA HUU.

Ikiwa unataka tengenezewa Blog, Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo auHabari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com. Follow me instagram @officialfredynjejeblog Twitter @Fredynjeje
Mbunge wa jimbo la Kinondoni, Maulid Mtulia akizungumza na wandishi wa habari juu ya kuhairishwa kwa kesi dhidi ya bomoabomoa ambayo itasomwa tena Januari 25 mwaka huu.
 Kesi hiyoilifumguliwa ili kupinga agizo la wizara ya Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi ambapo walikuwa wanabomoa maeneo hatarishi na maeneo ya wazi yaliyovamiwa na wananchi. 
Kesi hiyo ya zuio la bomoabomoa imesomwa leo na Jaji Panterine Kente leo katika mahakama kuu kitengo cha ardhi jijini Dar es Salaam.
 Wananchi wakimsikiliza Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Maulid Mtulia leo katika Mahakama kuu kitengo cha ardhi jijini Dar es Salaam leo.
Wananchi wakiwa nje ya Mahakama kitengo cha Ardhi leo jijini Dar es Salaam.
Picha na Emmanue Massaka wa Globu ya jamii.
Chanzo: Michuzi Media Group

No comments: