Social Icons

Tuesday 19 January 2016

MADEREVA WA PIKIPIKI WAGONGANA NA KUKIMBIZWA KATIKA HOSPITALI YA MWANANYAMALA KWA MATIBABU

Ikiwa unataka tengenezewa Blog, Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo auHabari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com. Follow me instagram @officialfredynjejeblog Twitter @Fredynjeje

 Askari wakiwahoji waendesha pikipiki (wa pili na watatu kulia) waliogongana katika Barabara ya Morocco eneo la Bonde la Mkwajuni, Dar es Salaam. Nawote wamekimbizwa katika Hospitali ya Mwananyamala na watatu kulia mkono inadaiwa umevunjika kwa juu ya maungio ya kiganja cha mkono wa kushoto na mguu wakushoto kuwa na maumivu makali na wapili kulia maumivu ya mguu (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)

 Mmoja wa Dereva wa Pikipiki (wakwanza kulia) akikabidhi nyaraka zake kwa Askari na alikuwa akienda kupata matibabu katika Hospitali ya Kairuki na kukimbizwa wote wawili katika Hospitali ya Mwananyamala
Dereva akitoa maelezo kwa Askari waliokua katika Bonde la Mkwajuni 

No comments: