Ikiwa unataka tengenezewa Blog, Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo auHabari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com. Follow me instagram @officialfredynjejeblog Twitter @Fredynjeje
Mwenyekiti wa Bunge Mhe.Andrew Chenge pamoja na Waziri
wa Nchi Ofisi Utumishi na utawala Bora Mhe.Angellina Kairuki wakiwasili
katika viwanja vua Bunge kwa ajili ya kushiriki kikao cha 7 cha Bunge
la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa Bunge Mhe.Andrew Chenge akiwasili katika ukumbi wa Bunge
tayari kwa kuongoza kikao cha 7 cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini
Dodoma.
Mwenyekiti wa Bunge Mhe.Andrew Chenge akiongoza sala kwa ajili ya Bunge
na Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kikao cha 7 cha
Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa Bunge Mhe.Andrew Chenge akiongoza kikao cha 7 cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge Kazi, Vijana na
Ajira Mhe Anthony Mavunde akijibu hoja toka kwa Wabunge mbalimbali
katika kikao cha 7 cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma
Waziri wa Nchi Ofisi Utumishi na utawala Bora Mhe.Angellina Kairuki
akijibu hoja toka kwa Wabunge mbalimbali katika kikao cha 7 cha Bunge la
11 linaloendelea Mjini Dodoma
Wairi wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga taifa Mhe dkt Hussein Mwinyi akiteta
jambo na Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe William
Lukuvi katika kikao cha 7 cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma
Waziri wa Ujenzi,uchukuzi na Mawasiliano Mhe.prof Makame Mbalawa akijibu
hoja toka kwa Wabunge mbalimbali katika kikao cha 7 cha Bunge la 11
linaloendelea Mjini Dodoma
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe.George Masaju akijibu hoja toka kwa Wabunge mbalimbali katika kikao cha 7 cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma
Picha na Raymond Mushumbusi MAELEZO
No comments:
Post a Comment