Ikiwa unataka tengenezewa Blog, Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo auHabari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com. Follow me instagram @fredynjejeblog Twitter @Fredynjeje
Sokwe
amezalishwa kwa upasuaji wa dharura kusini Magharibi mwa Uingereza
katika sehemu uliyotengwa kwa kuhifadhia wanyama inayojulikana kama
Bristol Zoo.
Mama na mtoto wa sokwe huyo wanaendelea vyema ,sokwe huyo alizaliwa kupitia upasuaji usio wa kawaida baada ya mama yake kuonyesha ishara za ugonjwa hatari wa shinikizo la damu.
Jopo la kuongoza shughuli
ya upasuaji kwa sokwe huyo liliongozwa na Profesa David Cahill aliyeitwa
kutoka hospitali ya kina mama NHS na mtoto wa kike alizaliwa kwa
oparesheni hiyo.
Kumekuwa
na sokwe wachache waliofanyiwa upasuaji wakati wa kujifungua
duniani,kisa cha hivi karibuni kikiwa kile cha San Diego Safari Park
mwaka 2014.
Chanzo BBC
No comments:
Post a Comment