Social Icons

Wednesday 24 February 2016

Sokwe azalishwa kwa upasuaji

Ikiwa unataka tengenezewa Blog, Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo auHabari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com. Follow me instagram @fredynjejeblog Twitter @Fredynjeje


 

Sokwe amezalishwa kwa upasuaji wa dharura kusini Magharibi mwa Uingereza katika sehemu uliyotengwa kwa kuhifadhia wanyama inayojulikana kama Bristol Zoo.

Mama na mtoto wa sokwe huyo wanaendelea vyema ,sokwe huyo alizaliwa kupitia upasuaji usio wa kawaida baada ya mama yake kuonyesha ishara za ugonjwa hatari wa shinikizo la damu.


Jopo la kuongoza shughuli ya upasuaji kwa sokwe huyo liliongozwa na Profesa David Cahill aliyeitwa kutoka hospitali ya kina mama NHS na mtoto wa kike alizaliwa kwa oparesheni hiyo.

Kumekuwa na sokwe wachache waliofanyiwa upasuaji wakati wa kujifungua duniani,kisa cha hivi karibuni kikiwa kile cha San Diego Safari Park mwaka 2014.

Chanzo BBC

No comments: